sw_tn/pro/03/31.md

274 B

... wala usicahague moja ya njia zake

"usichague kuiga njia yake yoyote"

mtu mjanja ni chukizo kwa Yahwe

"Yahwe humchukia mtu mjanja"

mtu mjanja

mtu wenye dharau au mdanganyifu

mtu mwaminifu humpeleka katika ujasiri

"Yahwe ni rafiki wa karibu kwa waaminifu"