sw_tn/pro/02/09.md

259 B

haki

adili

kila njia njema

kuishi katika njia ambao humpendeza Mungu.

hekima itaigia kwenye moyo wako

Hapa "moyo" unamaanisha utu wa ndani wa mwanadamu. "utajifunza namna ya kuwa na busara ya kweli"

yatakupendeza nafsi yako

"yatakupa furaha"