forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
788 B
Markdown
32 lines
788 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
baba anamfundisha mtoto wake.
|
|
|
|
# hofu ya Yahwe ni mwanzo wa maarifa
|
|
|
|
"Lazima umwogope Yahwe kwanza ili uanze kujua busara" au "lazima kumheshimu na kuwa na staha kwa Yahwe kwanza ili kujifunza busara"
|
|
|
|
# Yahwe
|
|
|
|
Hili ni jina lake Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|
|
|
|
# wapumbavu hudharau hekima na mafundisho
|
|
|
|
"wale wasiothamini busara na maelekezo ni wapumbavu"
|
|
|
|
# wala usijiweke kando
|
|
|
|
Hii ni nahau kumaanisha " usipuuzie" au " usikatae"
|
|
|
|
# vitakuwa kilemba cha neema kwa ajili ya kichwa chako na mikufu yenye kuning'inia shingoni mwako
|
|
|
|
"yatakufanya uwe na busara kama kuvaa kilemba kwenye kichwa chako au mikufu kuzunguka shingo yako inavyokupendeza"
|
|
|
|
# kilemba
|
|
|
|
duara iliyofumwa kwa majani au maua
|
|
|
|
# mikufu
|
|
|
|
mapambo yanayovaliwa shingoni
|