forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
373 B
Markdown
20 lines
373 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mstari wa 2-23 ni mashairi
|
|
|
|
# kwa kufunza hekima na mafundisho
|
|
|
|
"kwa kukufunza jinsi ya kuwa na busara na kukuelekeza namna ya maisha kuishi kwa uadilifu.
|
|
|
|
# kwa kufunza maneno ya ujuzi
|
|
|
|
"kwa kukusaidia kufahamu mafundisho ya busara"
|
|
|
|
# ili kupokea
|
|
|
|
"ili tuweze kupokea"
|
|
|
|
# ili kupokea mafundisho kwa ajili ya kuishi
|
|
|
|
" mpate kufunzwa namna ya kuishi"
|