sw_tn/php/04/01.md

1.9 KiB

Sentensi unganishi

Paulo anaendelea na baadhi ya maelekezo kwa waamini wa Filipi kuhusu umoja na kuwapa maelekezo kuwasaidia kuishi kwa ajili ya Bwana.

Maelezo ya Jumla

Wakati Paulo anaposema, "watenda kazi wa kweli pamoja," "neno wewe ni umoja. Paulo hasemi jina la mtu. Anamuita hivyo kuonyesha amefanya kazi na Paulo kueneza injili.

Kwa hiyo wapendwa wangu ambao nawatamani

"Waumini wenzangu, nawapenda na ninatamani sana kuwaona"

ndugu

hapa anamaanisha Wakrsto wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.

Furaha na taji yangu

Paulo anatumia neno "Furaha"akimaanisha kuwa kanisa la Filipi nicho kisababishi cha furaha yake. Taji ilitengenezwa kwa majani na mtu aliivaa kichwani kwake kama ishara ya heshima baada ya ushindi alioupata kwenye mchezo. Neno "taji" linamanisha kuwa kanisa la Filipi lilimletea Paulo heshima kwa Mungu. AT:" Mnanipa furaha kwa sababu mmemwamini Yesu, na ninyi ni zawadi na taji

Kwa njia hii simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa

"Kwa hiyo endeleeni kuishi kwa Bwwana katika namna ambayo nimewafundisha, enyi marafiki wapendwa"

Ninamsihi Audia, na ninamsihi Sintike

Hawa ni wanawake waumini waliomsaidia Paulo katika kanias la Filipi. Ninamsihi Audia, na ninamsihi Sintike

Muwe na nia ileile katika Bwana

"Sentensi hii ya "muwe na nia ileile" inamaanisha kuwa na tabia au mawazo yaleyale. "kukubaliana ninyi kwa ninyi kwa kuwa nyote mnamwamini Bwana yuleyule

pamoja nanyi pia

Hapa "wewe" inarejea kwa "mtenda kazi mpendwa" and kama umoja

mtenda kazi

hiki kifungu cha maneno kinatokana na kilimo, ambapo wanyama wawi wangweza kuunganishwa kwenye kongwa/ yoki. "mtenda kazi"

Pamoja na Kelement

Kelement alikuwa Muumin na mtenda kazi katika kanisa laFilipi

Ambao majina yao yamenandikwa kwenye kiabu cha uzima

"Ambao majina yao Mungu ameyaandika kwenye kitabu cha uzima"