sw_tn/php/03/15.md

517 B

Sisi tulioukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii.

Paulo alitaka wakristo wenzake wawe na hamu ile ile kama yeye alivyo. Kuwa imara katika imani Kufikiri katika jambo moja.

Mungu pia atalifunua hilo kwenu

"Mungu pia atalifanya wazi kwako" au "Mungu atakuhakikishia unalijua"

Mungu atakifunua hilo kwenu

Mungu ataweza wazi hilo jambo au kitu hicho kwako/kwenu

Kwa vyovyote tulivyokwisha kuwa , na tuenende katika hali hiyo

Na tuendelee kuutii ukweli wa neno la Mungu ule ambao tumekwisha pata tayari.