sw_tn/php/02/22.md

548 B

kama mtoto anayemhudumia baba yake, ndivyo alivyotumika pamoja nami

Paulo anamzungumzia Timotheo, ambaye alimtumikia Kristo pamoja na Paulo, kana alikuwa mtoto akimhudumia baba yake. Paulo anasisitiza mahusiano ya baba na mtoto alinayo pamoja na Timotheo katika kumtumikia Mungu.

katika injili

Hapa "injili" inasimama kama kazi ya kuwaambia watu kuhusu Yesu. "katika kuwaambia watu kuhusu injili"

Nina hakika katika Bwana kwamba mimi mwenyewe nitakuja hivi karibuni

"Ninauhakika, kama ni mapenzi ya Bwana, kwamba nitakuja hivi karibuni"