sw_tn/php/02/01.md

605 B

Sentensi Unganishi

Paulo anawashauri waamini kuwa katika hali ya umoja na unyenyekevu na kuwakumbusha mfano wa Kristo.

Ikiwa

"Ninaamini ni kweli"

ikiwa kuna kutia moyo katika Kristo

"kwamba Kristo amewatia moyo"

ikiwa kuna faraja kutoka katika pendo lake

"ikiwa pendo lake limekupa faraja"

ikiwa kuna ushirika wa Roho

"ikiwa una ushirika pamoja na Roho"

ikiwa kuna rehema na huruma

"ikiwa mmezoea matendo mengi ya Mungu ya huruma na rehema"

fanya furaha yangu

Paulo hapa anazungumzia furaha kana kwamba kilikuwa kimiminika kinajazwa kwenye kibebeo. "Kumenisababisha kusifu mno"