sw_tn/php/01/28.md

475 B

na msitishwe na kitu chochote

hili ni agizo kwa Wakristo wa Filipi kuwa wasiogope kitu chochote.

Hii ni kwao ni ishara ya uharibifu . Bali kwenu ni ishara ya wokovu, kutoka kwa Mungu

"Ujasiri wenu utawaonyesha kwamba Mungu atawaharibu. Pia itawaonyesha kwamba Mungu atawaokoa"

kwa maana mna ugomvi uleule kama mlivyoona na ule mnaosikia ninao hata sasa

Ndiyo maana mmekuwa na ugomvi ua ushindani uleule kama mlivyoona kwangu na kwa sasa mnasikia kuwa bado ninao.