forked from WA-Catalog/sw_tn
335 B
335 B
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.
siku ya nane
siku ya 8
mtakuwa na kusanyikok lingine makini
"kutaneni tena ili kumwabudu BWANA sawa na kusanyiko la siku ya kwanza "
Sadakailiyotengenezwa kwa moto
"mtaiteketeza kwenye madhabahu"