kwa kuwadanganya
"kwa kukudanganya wewe"
waliwaongoza katika uovu
"Waliwashawishi ninyi kufanya uovu huu"
swala la Peori ... kwa swala la Peori
Virai hivi vinamaanisha kuwa vitu hivi vyote vilitokea pale Peori.
Peori
Tazama 23:28
amabye aliuawa
"ambaye Finehasi alimwua"