forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
518 B
Markdown
20 lines
518 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Balaamu anaendelea kutoa unabii kwa kuwezeshwa na Mungu
|
|
|
|
# Huongeae ... Huona ... humwinamia
|
|
|
|
Haya ni maneno ya Balaamu
|
|
|
|
# humwinamia
|
|
|
|
Hili ni tendo la heshima
|
|
|
|
# macho yake yakiwa yamefumbuliwa
|
|
|
|
"macho yakiwa yamefumbuliwa" inamaaniaha kuwa Balaamu alikuwa amepokea uwezo wa kufahamu kile ambacho Mungu alimtaka aseme.
|
|
|
|
# Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli
|
|
|
|
Virai hivi vyote vina maana moja na vinaonesha jinsi kambi za Waisraeli zilivyokuwa nzuri kwa Balaamu.
|