forked from WA-Catalog/sw_tn
518 B
518 B
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutoa unabii kwa kuwezeshwa na Mungu
Huongeae ... Huona ... humwinamia
Haya ni maneno ya Balaamu
humwinamia
Hili ni tendo la heshima
macho yake yakiwa yamefumbuliwa
"macho yakiwa yamefumbuliwa" inamaaniaha kuwa Balaamu alikuwa amepokea uwezo wa kufahamu kile ambacho Mungu alimtaka aseme.
Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli
Virai hivi vyote vina maana moja na vinaonesha jinsi kambi za Waisraeli zilivyokuwa nzuri kwa Balaamu.