ni amri, ni sheria
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. "Ni amri za kimahakama"
wakuletee
Neno "wa" inamlenga Musa
kipaku wala waa
maneno haya yana maana ileile, yametumikaa pamoja kuongeza msisitizo kuwa mnyama huyu anatakiwa kutokuwa na dosari yeyote"