sw_tn/num/10/09.md

315 B

Nanyi mtakapoenda vitani ... wanaowakandamiza

"Waisraeli wanapokuwa vitani ... kwa wale wanaowakandamiza Waisraeli"

ndipo mtakapotoa sauti ya ishara ya tarumbeta

"basi utawaamuru makuhani kupiga sauati ya tarumbeta "

nitawaita na kuwakumbuka

Kirai cha " kuwaita" kinamanisha kuwakumbuka. "Nitawakumbuka"