hema ya kukutania kuondoka kambini .. katikati ya kambi zote
Hii inamaanisha kuwa hema ya kukutania lazima libebwe na Walawi katikati ya makabila wakati wa safari.
Lazima waondoke
neno "wa" inamaanishsa makabila kumi na mbili.
kwa kufuata bango lake
"Kwa bango la kabila lake"