forked from WA-Catalog/sw_tn
465 B
465 B
mimi pia nikachukua nafasi yangu
Nehemia anasema hapa. AT "Mimi, Nehemia, pia nilichukua nafasi yangu"
Eliakimu.... Maaseya.....Miyamini.....Mikaya....Elioenai.... Zekaria....Hanania ....Maaseya....Shemaya...Eleazari....Uzi....Yehohanani ....Malkiya, Elamu.....Ezeri
Haya ni majina ya wanaume ambao walikuwa makuhani wakati huo.
Yezrahia
Hili ni jina la kiume ambaye alikuwa kiongozi wa waimbaji.
walijifanya wenyewe kusikia
"kuimba kwa sauti kubwa"