forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
379 B
Markdown
20 lines
379 B
Markdown
# kwaya
|
|
|
|
"kundi la waimbaji"
|
|
|
|
# Niliwafuata
|
|
|
|
Nehemia aliwafuata
|
|
|
|
# mnara wa vinyago...mnara wa Hananeli... mnara wa Hamea
|
|
|
|
Hizi ni majina ya miundo mirefu ambako watu walikuwa macho kulinda hatari .
|
|
|
|
# Ukuta mrefu
|
|
|
|
Hili ni jina la sehemu ya ukuta.
|
|
|
|
# lango la Efraimu...lango wa kale....lango la samaki... lango la Kondoo...lango la walinzi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wazi katika ukuta.
|