forked from WA-Catalog/sw_tn
379 B
379 B
kwaya
"kundi la waimbaji"
Niliwafuata
Nehemia aliwafuata
mnara wa vinyago...mnara wa Hananeli... mnara wa Hamea
Hizi ni majina ya miundo mirefu ambako watu walikuwa macho kulinda hatari .
Ukuta mrefu
Hili ni jina la sehemu ya ukuta.
lango la Efraimu...lango wa kale....lango la samaki... lango la Kondoo...lango la walinzi
Haya ni majina ya wazi katika ukuta.