sw_tn/neh/12/22.md

438 B

Eliashibu....Yoyada......Yohana...... Yadua

majina ya wanaume

wakati wa utawala wa Dariyo

Maana nyingine inaweza kuwa ni "mpaka utawala wa Dariyo"

waliandikwa katika Kitabu cha tarehe

Hii inaweza kutaja Kitabu cha Mambo ya Nyakati. Waandishi waliandika maneno katika mistari hapo juu katika kitabu kilichoandika matukio ya kila siku.

hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu.

Kumbukumbu za hekalu zimeandikwa tu hadi Johana.