forked from WA-Catalog/sw_tn
438 B
438 B
Eliashibu....Yoyada......Yohana...... Yadua
majina ya wanaume
wakati wa utawala wa Dariyo
Maana nyingine inaweza kuwa ni "mpaka utawala wa Dariyo"
waliandikwa katika Kitabu cha tarehe
Hii inaweza kutaja Kitabu cha Mambo ya Nyakati. Waandishi waliandika maneno katika mistari hapo juu katika kitabu kilichoandika matukio ya kila siku.
hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu.
Kumbukumbu za hekalu zimeandikwa tu hadi Johana.