sw_tn/neh/12/15.md

28 lines
995 B
Markdown

# Sentensi Unganishi
Orodha iliyoanza 12:12 inaendelea.
# Adna...Helkai....Zekaria.....Meshulamu....Zikri ....Piltai....Shamua..... Yehonathani.....Matenai....Uzi.....Kalai.....Eberi .....Hashabia....Nethanel
Haya ni majina ya wanaume wote.
# Harimu.....Meremothi...Ido....Ginethoni.....Abia.... Miyaamini....Maazia.....Bilgai....Shemaya....Yoyaribu.... Yedaya.....Salu.... Amoki...Hilkia.....Yedaya
Haya ni majina ya familia ambazo zinaitwa baada ya wanaume.
# alikuwa kiongozi wa
"alikuwa kiongozi wa familia ya" au "alikuwa kiongozi wa wazao wa"
# Meshulamu alikuwa kiongozi wa Ginethoni
Ginethoni inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Ginethoi.
# wa Miyaamini
Maandishi ya Kiebrania yanatoka kwa makosa jina la kiongozi wa familia ya Miniamin. Baadhi ya matoleo ya kisasa huacha maneno hayajahitimishwa, kama ULB inavyofanya. Matoleo mengine hutoa maelezo mafupi ya kufanya upungufu wa jina la kiongozi (tazama UDB).
# Maazia
Maazia inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Maazia