forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
995 B
Markdown
28 lines
995 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Orodha iliyoanza 12:12 inaendelea.
|
|
|
|
# Adna...Helkai....Zekaria.....Meshulamu....Zikri ....Piltai....Shamua..... Yehonathani.....Matenai....Uzi.....Kalai.....Eberi .....Hashabia....Nethanel
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume wote.
|
|
|
|
# Harimu.....Meremothi...Ido....Ginethoni.....Abia.... Miyaamini....Maazia.....Bilgai....Shemaya....Yoyaribu.... Yedaya.....Salu.... Amoki...Hilkia.....Yedaya
|
|
|
|
Haya ni majina ya familia ambazo zinaitwa baada ya wanaume.
|
|
|
|
# alikuwa kiongozi wa
|
|
|
|
"alikuwa kiongozi wa familia ya" au "alikuwa kiongozi wa wazao wa"
|
|
|
|
# Meshulamu alikuwa kiongozi wa Ginethoni
|
|
|
|
Ginethoni inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Ginethoi.
|
|
|
|
# wa Miyaamini
|
|
|
|
Maandishi ya Kiebrania yanatoka kwa makosa jina la kiongozi wa familia ya Miniamin. Baadhi ya matoleo ya kisasa huacha maneno hayajahitimishwa, kama ULB inavyofanya. Matoleo mengine hutoa maelezo mafupi ya kufanya upungufu wa jina la kiongozi (tazama UDB).
|
|
|
|
# Maazia
|
|
|
|
Maazia inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Maazia
|