sw_tn/neh/10/09.md

64 lines
1.4 KiB
Markdown

# Taarifa za jumla
Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika majina ya watu walio saini hati iliyofunikwa.
# Walawi walikuwa
Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Walawi ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa"
# Yeshua...Henadadi
Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:18.
# Azania.... Rehobu...Beninu
Haya ni majina ya wanaume.
# Binui
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:22
# Kadmieli
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:43
# Shebania
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 9:3.
# Hodia.....Kelita.....Pelaya.....Sherebia
Haya ni majina ya wanaume . kama ilivyo tafasiliwa 8:6
# Hanani
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:46
# Mika
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 10:9.
# Hashabia.....Bani
Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:16
# Zakuri
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:1
# Viongozi wa watu walikuwa
Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Viongozi wa watu ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa"
# Paroshi
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:25.
# Pahath-Moabu
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:11
# Elamu.........Zatu
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika7:11