1.4 KiB
Taarifa za jumla
Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika majina ya watu walio saini hati iliyofunikwa.
Walawi walikuwa
Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Walawi ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa"
Yeshua...Henadadi
Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:18.
Azania.... Rehobu...Beninu
Haya ni majina ya wanaume.
Binui
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:22
Kadmieli
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:43
Shebania
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 9:3.
Hodia.....Kelita.....Pelaya.....Sherebia
Haya ni majina ya wanaume . kama ilivyo tafasiliwa 8:6
Hanani
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:46
Mika
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 10:9.
Hashabia.....Bani
Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:16
Zakuri
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:1
Viongozi wa watu walikuwa
Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Viongozi wa watu ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa"
Paroshi
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:25.
Pahath-Moabu
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:11
Elamu.........Zatu
Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika7:11