sw_tn/neh/09/23.md

442 B

Sentensi unganishi

Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.

Uliwafanya watoto wao

Bwana aliwafanya wana wa Israeli wakati wa Musa

Ukawatia mikononi mwao

Wakanaani wanasemwa kama walikuwa vitu vidogo ambavyo mtu anaweza kuweka mkononi mwa mtu mwingine. Kutoa kitu ndani ya mkono wa mtu ni kumpa mtu huyo udhibiti kamili juu ya jambo hilo. AT "imewezesha Waisraeli kuwa na udhibiti kamili juu yao"