forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
503 B
Markdown
20 lines
503 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Roho wako mzuri....mana yako... maji
|
|
|
|
Mwandishi hubadili neno la kawaida ili kusisitiza mambo mema ambayo Bwana aliwapa watu wake. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza vitu hivi.
|
|
|
|
# fundisha
|
|
|
|
"fundisha"
|
|
|
|
# mana yako haukuwanyima kinywani mwao
|
|
|
|
Litotesi hii inaweza kuelezewa vizuri. AT "na wewe kwa upole uliwapa mana"
|
|
|
|
# kinywani mwao
|
|
|
|
Kinywa ni busara kwa mtu mzima. AT kutoka kwao
|