forked from WA-Catalog/sw_tn
815 B
815 B
Sentensi unganishi
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
wao na baba zetu
Waisraeli wakati wa Musa na watu wa Israeli baada ya wakati wa Musa
wao walikuwa wakaidi ... wakawa wakaidi
Maneno halisi ni "walifanya ngumu zao ngumu." Ikiwa lugha yako ina dalili tofauti ya kuwa mkaidi, ungependa kuitumia hapa.
maajabu uliyofanya kati yao
"miujiza uliyoifanya kati yao"
wakamchagua kiongozi wairudie hali ya utumwa
"walimteua kiongozi kuwapeleka kwenye nchi waliyokuwa watumwa."
ambaye amejaa msamaha
Nia ya kusamehe inazungumzwa kama kama ni maji ambayo inaweza kujaza chombo. AT "ambaye yupo tayari kusamehe"
wingi katika upendo thabiti
Upendo umesemekana kama ni mazao ya chakula ambayo Bwana angeweza kushirikiana na watu. AT "anapenda watu wake sana"