sw_tn/neh/09/07.md

404 B

Sentensi Unganishi

Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.

Uri wa Wakaldayo

"Uri, ambapo kundi la Wakaldayo liliishi"

Uliona moyo wake ulikuwa mkamilifu mbele yako

Moyo, ndani ya mtu, inawakilisha mtu. AT "Uliona kwamba alikuwa mwaminifu kabisa kwako"

Wakanaani..... Mhiti...... Mwamori..... Perizi......Myebusi.......Wagirgashi

majina ya kundi la watu