forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
739 B
Markdown
32 lines
739 B
Markdown
# tangu wakati niliowekwa
|
|
|
|
Hapa "mimi" inahusu Nehemia.
|
|
|
|
# tangu mwaka wa ishirini mpaka mwaka wa thelathini na pili
|
|
|
|
mwaka wa pili - "tangu mwaka wa 20 hadi mwaka wa 32"
|
|
|
|
# wa mfalme Artashasta
|
|
|
|
Artashasta alikuwa mfalme
|
|
|
|
# chakula kilichotolewa kwa gavana
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "walikula chakula ambacho watu walitoa kwa gavana"
|
|
|
|
# kwa kila siku
|
|
|
|
"kila siku kwa ajili yao"
|
|
|
|
# wakuu wa zamani
|
|
|
|
wakuu wa zamani au "magavana wa zamani." Nehemia hakuwa gavana wa kwanza wa Yuda.
|
|
|
|
# Shekeli Arobaini
|
|
|
|
"Shekeli 40" au "sarafu za fedha 40" (UDB).
|
|
|
|
# Lakini sikufanya hivyo kwa sababu ya hofu ya Mungu.
|
|
|
|
"Lakini kwa sababu hofu yangu ya Mungu sikuchukua chakula" au "Lakini sikuwa na chakula kwa sababu niliogopa Mungu"
|