sw_tn/neh/03/14.md

620 B

Malkiya.... Rekabu.....Shalumu...Kolhoze

Haya ni majina ya watu

Malkiya, mwana wa Rekabu, mtawala

Malkiya alikuwa mtawala, alikuwa hapatikani.

mtawala

"msimamizi mkuu" au "kiongozi"

Beth-Hakeremu

Hili ni jina la sehemu

yeye ......kuweka milango yake

"aliweka milango yake" au "akaweka milango yake mahali"

vyuma vyake na makomeo yake

"kufuli na baa zake." Hizi zimefungwa malango salama.

Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala

Shalumu alikuwa mtawala, sio Kolhoze

ukuta wa Pwani wa Silowamu

Hii inamaanisha kuwa ukuta ulikuwa karibu na Pwani la Siloamu. AT "ukuta uliozunguka Pwani la Siloamu"