sw_tn/neh/01/04.md

277 B

kisaha akasema

Nehemiya anasema yale aliyoomba. AT "Ndipo nikamwambia Bwana"

wale wanaokupenda na kushika amri zake

Kwa kuwa Nehemia anazungumza na Yahweh, matamshi "yeye" na "yake" yanaweza kutafsiriwa kama "wewe" na 'yako." AT "ambaye anakupenda na kushika amri zako"