sw_tn/nam/01/02.md

227 B

Yahwe

Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.

hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake

Hii inamaanisha kwamba Yahwe atawahukumu na kuwaadhibu adui zake wasipomtii yeye.