sw_tn/mrk/16/19.md

315 B

akachukuliwa juu mbinguni na ameketi

Hii inaweza kuwa kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimchukua juu mbinguni, na ameketi"

mkono wa kuume wa Mungu

"sehemu ambapo Mungu umpe kuketi kwa heshima na nguvu"

kulithibitisha neno

"kulionyesha kuwa maneno yake, ambayo yalikuwa yakizunguzwa, yalikuwa kweli"