sw_tn/mrk/15/16.md

417 B

kambini

Hii ni sehemu wanaokaa maaskari.

kikosi

"Idadi kubwa" au "wengi"

Wakamvika Yesu vazi la zambarau

Hii ilikuwa tendo la kejeli. Zambarau ilikuwa rangi inayoonesha mamlaka na kumvalisha ni namna ya kudhihaki cheo chake, "Mfalme wa Wayahudi."

Wakaanza kumpigia kumdhihaki na kusema, "salaam, Mfalme wa Wayahudi!"

Maaskari walimdhihaki Yesu kwa sababu hawakuamini kwamba alikuwa Mfalme wa Wayahudi.