sw_tn/mrk/13/28.md

744 B

Sentensi unganishi

Yesu anatoa mifano mifupi hapa kuwakumbusha watu kufahamu lini mambo aliyokuwa anaongelea yanatokea

tawi liwezavyo kutoa

Kifungu "tawi" urejea kwa matawi ya mtini. "matawi yake yanaweza kutoa"

kutoa

"ukijani na laini"

kuweka majani

Hapa majani ya mtini yanaongelewa kama yalikuwa hai na yanaweza kuwa tayari kusababisha majani yake kukua. "majani yake huanza kuchipua"

kiangazi

sehemu ya mwaka ni joto au majira ya kukua

mambo haya

Hii inarejea kwa siku za mateso. "mambo haya nimekwisha kueleza"

yuko karibu

"Mwana wa Adamu yuko karibu"

karibu na malango

Nahau hii inamaanisha kwamba yuko kairba na karibu ameshafika, urejea kwa msafiri kuwa karibu kufika katika mlango. "na yuko karibu hapo"