sw_tn/mrk/13/24.md

1.1 KiB

jua litatiwa giza

Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "jua litatiwa giza"

mwezi hautatoa mwanga wake

Hapa mwezi umeongelewa kama ulikuwa hai na waweza kutoa kitu chochote kwa mtu fulani. "mwezi hautato mwanga" au "mwezi utatiwa giza"

nyota zitaangika kutoka angani

Hii haimanishi kwamba zitaanguka chini lakini ni kwamba zitaanguka kutoka pale zilipo kwa sasa.

nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika

Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "Mungu ataitingisha nguvu zilizoko mbinguni"

nguvu

Hili ni jina la maelezo juuya sayari na linaweza kuwa pamoja na nyote.

mawinguni

"mawinguni"

Kisha watamuona

"Kisha watu watamuona"

kwa nguvu kubwa na utukufu

"nguvu na utukufu"

atawakusanya

Neno "ata" urejea kwa Mungu na kirai kwa malaika wake, kama wao watakao kusanya wateule. "watawakusanya" au "malaika wake watawakusanya"

pande kuu nne

Ulimwengu wote umesemwa kuwa kama "pande kuu nne" ambazo zinarejea kwa pande nne: kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.

kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.

Huku kulikokithiri kumetolewa msisitizo kwamba wateule watakusanywa kutoka ulimwengu wote. "kutoka kila eneo ulimwenguni"