forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.1 KiB
Markdown
44 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# jua litatiwa giza
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "jua litatiwa giza"
|
||
|
|
||
|
# mwezi hautatoa mwanga wake
|
||
|
|
||
|
Hapa mwezi umeongelewa kama ulikuwa hai na waweza kutoa kitu chochote kwa mtu fulani. "mwezi hautato mwanga" au "mwezi utatiwa giza"
|
||
|
|
||
|
# nyota zitaangika kutoka angani
|
||
|
|
||
|
Hii haimanishi kwamba zitaanguka chini lakini ni kwamba zitaanguka kutoka pale zilipo kwa sasa.
|
||
|
|
||
|
# nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa kati hali tendaji. "Mungu ataitingisha nguvu zilizoko mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# nguvu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la maelezo juuya sayari na linaweza kuwa pamoja na nyote.
|
||
|
|
||
|
# mawinguni
|
||
|
|
||
|
"mawinguni"
|
||
|
|
||
|
# Kisha watamuona
|
||
|
|
||
|
"Kisha watu watamuona"
|
||
|
|
||
|
# kwa nguvu kubwa na utukufu
|
||
|
|
||
|
"nguvu na utukufu"
|
||
|
|
||
|
# atawakusanya
|
||
|
|
||
|
Neno "ata" urejea kwa Mungu na kirai kwa malaika wake, kama wao watakao kusanya wateule. "watawakusanya" au "malaika wake watawakusanya"
|
||
|
|
||
|
# pande kuu nne
|
||
|
|
||
|
Ulimwengu wote umesemwa kuwa kama "pande kuu nne" ambazo zinarejea kwa pande nne: kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
|
||
|
|
||
|
# kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
|
||
|
|
||
|
Huku kulikokithiri kumetolewa msisitizo kwamba wateule watakusanywa kutoka ulimwengu wote. "kutoka kila eneo ulimwenguni"
|