sw_tn/mrk/12/43.md

16 lines
212 B
Markdown

# Amini nawaambia
Ni hakika ya kile ninachowaambia
# sanduku la sadaka
sanduku hili lilikuwa na kukusanyia sadaka za watu wote hekaluni
# vingi
vingi zaidi
# umasikini
"upungufu" au "Kutokuwa na chochote"