sw_tn/mrk/12/43.md

16 lines
212 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Amini nawaambia
Ni hakika ya kile ninachowaambia
# sanduku la sadaka
sanduku hili lilikuwa na kukusanyia sadaka za watu wote hekaluni
# vingi
vingi zaidi
# umasikini
"upungufu" au "Kutokuwa na chochote"