sw_tn/mrk/11/13.md

616 B

Sentensi unganishi

Hii ilitokea wakatik Yesu na wanafunzi wake wanatembea kuelekea Yerusalemu.

kama angeweza kupata chochote juu yake

"kama kulikuwa na tunda lolote juu yake"

hakupata chochote isipokuwa majani

Hii inamaanisha kuwa hakupata mtini wowote. "alipata majani peke yake na hakuna mtini katika mti"

majira

"wakati wa mwaka"

Aliuambia, "Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena

Yesu anauambie kwa mtini na kuulaani. Anazungumza nao ili wanafunzi wake wasikie.

Anauambia mti

"Alizungumza na mtu"

Na wanafunzi wake wakasikia

Neno "wa" urejea kwa Yesu anazungumza kwa mtini.