forked from WA-Catalog/sw_tn
496 B
496 B
Unapungukiwa kitu kimoja
"Kuna kitu kimoja unapngukiwa." Hapa Yesu anazungumza juu ya tendo la kutofanya kitu fulani" kama "kupungukiwa." "Kuna kimoja ambacho haujafanya"
unapungukiwa
hauna kitu fulani
uwape masikini
Hapa neno "u" urejea kwa vitu anavyouza na ni kifungu cha maneno kinachosimama badala ya pesa mtu anayopokea anapouza. "wape masikini pesa"
masikini
Hii urejea kwa masikini. "watu masikini"
hazina
"utajiri"
alikuwa na miliki nyingi
"alimiliki vitu vingi"