sw_tn/mrk/10/20.md

496 B

Unapungukiwa kitu kimoja

"Kuna kitu kimoja unapngukiwa." Hapa Yesu anazungumza juu ya tendo la kutofanya kitu fulani" kama "kupungukiwa." "Kuna kimoja ambacho haujafanya"

unapungukiwa

hauna kitu fulani

uwape masikini

Hapa neno "u" urejea kwa vitu anavyouza na ni kifungu cha maneno kinachosimama badala ya pesa mtu anayopokea anapouza. "wape masikini pesa"

masikini

Hii urejea kwa masikini. "watu masikini"

hazina

"utajiri"

alikuwa na miliki nyingi

"alimiliki vitu vingi"