sw_tn/mrk/09/14.md

490 B

Sentensi unganishi

Wakati Petro, Yakobo, Yohana na Yesu walipokuja chini kutoka mlimani, waliwakuta waandishi wakibishana na wale wanafunzi wengine.

walirudi kwa wanafunzi

Yesu, Petro, Yakobo na Yohana walirudi kwa wanafunzi wengine ambao hawakuenda nao mlimani.

waandishi walikuwa wakibishana

Waandishi walikuwa wakibishana na wanafunzi ambao hawakuenda pamoja na Yesu.

linashangaa

Inaweza kuwa msaada kusema kwanini walishangaa. "walishangaa kwa kuwa Yesu alikuwa amekuja"