sw_tn/mrk/08/27.md

570 B

Sentensi unganishi

Yesu na wanafunzi wake wakiwa njiani kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi wanazungumza juu ya Yesu ni nani na nini kitatokea kwake.

Wakamjibu na wakasema

"Wakamjibu, wakasema,"

Yohana mbatizaji

Hili lilikuwa jibu la mwanafunzi, ambalo watu walisema Yesu alikuwa nani. Hii inaweza kuonyeshwa kwa usahihi. "Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"

Wengine wanasema

Neno "wengine" urejea kwa watu wengine. Pia, inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana. "Watu wengine wanasema wewe ni ... watu wengine wanasema wewe ni"