forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
570 B
Markdown
16 lines
570 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu na wanafunzi wake wakiwa njiani kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi wanazungumza juu ya Yesu ni nani na nini kitatokea kwake.
|
||
|
|
||
|
# Wakamjibu na wakasema
|
||
|
|
||
|
"Wakamjibu, wakasema,"
|
||
|
|
||
|
# Yohana mbatizaji
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jibu la mwanafunzi, ambalo watu walisema Yesu alikuwa nani. Hii inaweza kuonyeshwa kwa usahihi. "Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
|
||
|
|
||
|
# Wengine wanasema
|
||
|
|
||
|
Neno "wengine" urejea kwa watu wengine. Pia, inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana. "Watu wengine wanasema wewe ni ... watu wengine wanasema wewe ni"
|