sw_tn/mrk/08/27.md

16 lines
570 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Yesu na wanafunzi wake wakiwa njiani kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi wanazungumza juu ya Yesu ni nani na nini kitatokea kwake.
# Wakamjibu na wakasema
"Wakamjibu, wakasema,"
# Yohana mbatizaji
Hili lilikuwa jibu la mwanafunzi, ambalo watu walisema Yesu alikuwa nani. Hii inaweza kuonyeshwa kwa usahihi. "Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
# Wengine wanasema
Neno "wengine" urejea kwa watu wengine. Pia, inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zinazokosekana. "Watu wengine wanasema wewe ni ... watu wengine wanasema wewe ni"