forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
928 B
Markdown
20 lines
928 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Wakati Yesu na wanafunzi wake wakiwa ndani ya mtumbwi, walikuwa na majadiliano kuhusu kuelewa kudogo kati ya Mafarisayo na Herode, ijapokuwa walikuwa wamekwisha ona ishara nyingi.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hili neno linatumika kuweka alama ya kutenganisha hadithi. Hapa mwandishi anasema taarifa za nyuma kuhusiana na wanafunzi kusahau kuchukua mkate.
|
|
|
|
# hakuna zaidi ya mkate mmoja
|
|
|
|
Kikundi cha maneno yaliyo kinyume "hakuna zaidi" hutumiwa kusisitiza namna ya kiasi kidogo cha mkate waliokuwa nao. "mkate mmoja tu"
|
|
|
|
# Kuwa macho na ujilinde
|
|
|
|
Haya maneno mawili yana maana ya kufanana na yanarudiwa hapa kwa msisitizo. Yanaweza kuanganishwa. "Kuwa macho"
|
|
|
|
# chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.
|
|
|
|
Hapa Yesu anazungumza kwa wanafunzi wake katika mfano ambao hawauelewi. Yesu analinganisha mafundisho ya Mafarisayo na Herode kwa chachu, lakini hauwezi kueleza hivi unavyo tofasiri sababu wanafunzi wenyewe hawakuuelewa.
|