sw_tn/mrk/08/11.md

1.3 KiB

Sentensi unganishi

Huko Dalmanuta, Yesu anakataa kuwapa Mafarisayo ishara kabla ya yeye na wanafunzi hawajaingia katika mashua na kuondoka.

Walitafuta toka kwake

"Walimuuliza"

kutoka mbinguni

Hapa "mbinguni" urejea kwa eneo ambapo Mungu anaishi, na ni maneno badala ya Mungu. "kutoka kwa Mungu"

kumjaribu yeye

Mafarisayo walimjaribu Yesu kumfanya yeye awathibitishie kuwa anatoka kwa Mungu. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "kuhakikisha kuwa Mungu alimtuma yeye"

hema

Hii inamaanisha kuvuta ndani na kisha kupumua.

katika roho wake

"katika yeye"

Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara?

Yesu anawakaripia. Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Kizazi hiki hakipaswi kutafuta ishara"

kizazi hiki

Wakati ambapo Yesu anazungumza juu ya "kizazi hiki", anarejea kwa watu walio ishi wakati huo. Mafarisayo hawa wanajumuishwa katika kundi hili. "wewe na watu wa kizazi hiki"

hakuna ishara itakayotolewa

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "Sitatoa ishara"

aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi tena

Wanafunzi wa Yesu walienda naye. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi pamoja na wanafunzi wake"

upande ule mwingine

Hii huelezea bahari ya Galilaya, ambayo inaweza kusemwa kwa ufasaha. "kwa upande mwingine wa bahari"