forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.3 KiB
Markdown
44 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huko Dalmanuta, Yesu anakataa kuwapa Mafarisayo ishara kabla ya yeye na wanafunzi hawajaingia katika mashua na kuondoka.
|
||
|
|
||
|
# Walitafuta toka kwake
|
||
|
|
||
|
"Walimuuliza"
|
||
|
|
||
|
# kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbinguni" urejea kwa eneo ambapo Mungu anaishi, na ni maneno badala ya Mungu. "kutoka kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kumjaribu yeye
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo walimjaribu Yesu kumfanya yeye awathibitishie kuwa anatoka kwa Mungu. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "kuhakikisha kuwa Mungu alimtuma yeye"
|
||
|
|
||
|
# hema
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuvuta ndani na kisha kupumua.
|
||
|
|
||
|
# katika roho wake
|
||
|
|
||
|
"katika yeye"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara?
|
||
|
|
||
|
Yesu anawakaripia. Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Kizazi hiki hakipaswi kutafuta ishara"
|
||
|
|
||
|
# kizazi hiki
|
||
|
|
||
|
Wakati ambapo Yesu anazungumza juu ya "kizazi hiki", anarejea kwa watu walio ishi wakati huo. Mafarisayo hawa wanajumuishwa katika kundi hili. "wewe na watu wa kizazi hiki"
|
||
|
|
||
|
# hakuna ishara itakayotolewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendi. "Sitatoa ishara"
|
||
|
|
||
|
# aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi tena
|
||
|
|
||
|
Wanafunzi wa Yesu walienda naye. Baadhi ya taarifa zinaweza kuwekwa sahihi. "aliwaacha, akaingia ndani ya mtumbwi pamoja na wanafunzi wake"
|
||
|
|
||
|
# upande ule mwingine
|
||
|
|
||
|
Hii huelezea bahari ya Galilaya, ambayo inaweza kusemwa kwa ufasaha. "kwa upande mwingine wa bahari"
|