forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
677 B
Markdown
28 lines
677 B
Markdown
# Pia walipata
|
|
|
|
Hapa neno "wali..." linatumika kurejea kwa Yesu na wanafunzi wake.
|
|
|
|
# alishukuru
|
|
|
|
"Yesu alishukuru kwa samaki"
|
|
|
|
# Walikula
|
|
|
|
"Hawa watu walikula"
|
|
|
|
# walikusanya
|
|
|
|
"wanafunzi walikusanya"
|
|
|
|
# vipande vilivyo baki, vikapu vikubwa saba
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizokosekana. "vipande vilivyo baki vya mkate na samaki, ambavyo vilijaza vikapu saba vikubwa.
|
|
|
|
# Na aliwaacha waende
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa msaada kufafanua ambapo Yesu anawaacha waende. "Na baada ya kula, Yesu aliwaacha waende"
|
|
|
|
# wakaenda katika ukanda wa Dalmanuta
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa msaada kufafanua namna ya kwenda Dalmanuta. "walipiga mashua kupitia bahari ya Galilaya mpaka Dalmanuta"
|