sw_tn/mrk/08/07.md

677 B

Pia walipata

Hapa neno "wali..." linatumika kurejea kwa Yesu na wanafunzi wake.

alishukuru

"Yesu alishukuru kwa samaki"

Walikula

"Hawa watu walikula"

walikusanya

"wanafunzi walikusanya"

vipande vilivyo baki, vikapu vikubwa saba

Hii inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizokosekana. "vipande vilivyo baki vya mkate na samaki, ambavyo vilijaza vikapu saba vikubwa.

Na aliwaacha waende

Hii inaweza kuwa msaada kufafanua ambapo Yesu anawaacha waende. "Na baada ya kula, Yesu aliwaacha waende"

wakaenda katika ukanda wa Dalmanuta

Hii inaweza kuwa msaada kufafanua namna ya kwenda Dalmanuta. "walipiga mashua kupitia bahari ya Galilaya mpaka Dalmanuta"