sw_tn/mrk/07/06.md

448 B

Maelezo ya ujumla

Hapa Yesu ananukuu kwa nabii Isaya, ambaye aliandika maandiko miaka mingi kabla.

kwa midomo yao

Hapa "midomo" ni kirai cha kuzungumza. "kwa kile wanachosema"

lakini mioyo yao iko mbali nami

Hapa "moyo" urejea kwa mawazo ya watu au hisia. Hii ni njia kusema kuwa watu hawajitoa kwa Mungu. "lakini hawanipendi kabisa"

Wananifanyia ibaada zisizo na maana

"Wananifanyia ibada zisizo na maana" au wananiabudu kwa utupu"