forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
448 B
Markdown
16 lines
448 B
Markdown
|
# Maelezo ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Hapa Yesu ananukuu kwa nabii Isaya, ambaye aliandika maandiko miaka mingi kabla.
|
||
|
|
||
|
# kwa midomo yao
|
||
|
|
||
|
Hapa "midomo" ni kirai cha kuzungumza. "kwa kile wanachosema"
|
||
|
|
||
|
# lakini mioyo yao iko mbali nami
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" urejea kwa mawazo ya watu au hisia. Hii ni njia kusema kuwa watu hawajitoa kwa Mungu. "lakini hawanipendi kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Wananifanyia ibaada zisizo na maana
|
||
|
|
||
|
"Wananifanyia ibada zisizo na maana" au wananiabudu kwa utupu"
|